Bwana Mungu wetu atawapatia watakatifu thawabu ya Ufalme wa Kristo kwa miaka elfu moja, atafanya hivyo kuwafidia kwa kazi waliyoifanya kwa ajili ya injili. Ili kufanya hivyo, Mungu ni lazima kwanza amwamuru malaika wake kumkamata Joka na kumfunga katika shimo la kuzimu lisilo na mwisho kwa miaka elfu moja. Kwanza, Mungu ataifanya kazi hii, kwa sababu Joka ni lazima akamatwe na kisha kufungwa katika Lindi-kuu ili kuwawezesha watakatifu kuishi katiak Ufalme wa Milenia wa Kristo. Hivyo, Mungu anampatia malaika wake ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa, na anamwamuru kuianza kazi ya kumshika na kumfunga Joja katika Lindi-kuu.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...
Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za...
Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...