SURA YA 20-1. Joka Atafungwa Katika Shimo la Kuzimu Lisilo na Mwisho (Ufunuo 20:1-15)

Episode 25 January 14, 2023 00:21:34
SURA YA 20-1. Joka Atafungwa Katika Shimo la Kuzimu Lisilo na Mwisho (Ufunuo 20:1-15)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 20-1. Joka Atafungwa Katika Shimo la Kuzimu Lisilo na Mwisho (Ufunuo 20:1-15)

Jan 14 2023 | 00:21:34

/

Show Notes

Bwana Mungu wetu atawapatia watakatifu thawabu ya Ufalme wa Kristo kwa miaka elfu moja, atafanya hivyo kuwafidia kwa kazi waliyoifanya kwa ajili ya injili. Ili kufanya hivyo, Mungu ni lazima kwanza amwamuru malaika wake kumkamata Joka na kumfunga katika shimo la kuzimu lisilo na mwisho kwa miaka elfu moja. Kwanza, Mungu ataifanya kazi hii, kwa sababu Joka ni lazima akamatwe na kisha kufungwa katika Lindi-kuu ili kuwawezesha watakatifu kuishi katiak Ufalme wa Milenia wa Kristo. Hivyo, Mungu anampatia malaika wake ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa, na anamwamuru kuianza kazi ya kumshika na kumfunga Joja katika Lindi-kuu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 14, 2023 00:39:26
Episode Cover

SURA YA 11-1. Mizeituni Miwili na Manabii Wawili ni Akina Nani? (Ufunuo 11:1-19)

Neno la Ufunuo 11 ni la muhimu sana kwetu, ni muhimu kama lilivyo Neno lote la Mungu. Ili Mungu aweze kuuangamiza ulimwengu, basi kuna...

Listen

Episode 9

January 14, 2023 00:17:14
Episode Cover

SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)

Hii inatueleza juu ya Kanisa la Mungu likimpatia Mungu utukufu kwa kupitia kifo cha kuifia-dini. “Mwanamke aliyevikwa jua” ana maanisha ni Kanisa la Mungu...

Listen

Episode 5

January 14, 2023 00:15:01
Episode Cover

SURA YA 10-1. Je, Unafahamu Wakati wa Kunyakuliwa ni Lini? (Ufunuo 10:1-11)

Msingi wa sura hii unapatikana katika aya ya 7: “isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo...

Listen