SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu

Episode 28 January 14, 2023 00:43:00
SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu

Jan 14 2023 | 00:43:00

/

Show Notes

Mungu ametupatia Mbingu na Nchi Mpya. Mungu anatueleza kwamba kile unachokiona hivi sasa, yaani mbingu hii na nchi ya kwanza, pamoja na vitu vyake vyote vitatoweka, na kwamba atatupatia badala yake mbingu mpya, nchi mpya, na bahari mpya, na kisha atavifanya vitu vyote kuwa vipya katika ulimwengu mpya ulioumbwa. Hii ina maanisha kwamba Bwana Mungu atatupatia Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi yake kwa watakatifu ambao wameshiriki katika ufufuo wa kwanza. Baraka hii ni thawabu toka kwa Mungu ambayo atawapatia wale watakatifu wake, ambao wamepokea ondoleo la dhambi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 4

January 14, 2023 00:23:04
Episode Cover

SURA YA 9-2. Uwe na Imani Imara Katika Nyakati za Mwisho

Kati ya mapigo ya matarumbeta saba, tumekwisha lipitia pigo pigo la tarumbeta la tano na la sita katika kifungu hicho hapo juu. Tarumbeta la...

Listen

Episode 23

January 14, 2023 00:23:28
Episode Cover

SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Kifungu hiki kinawaelezea watakatifu wakimsifu Bwana Mungu wakati siku yao ya harusi na Mwana-kondoo ikikaribia. Bwana, Mungu wetu amewapatia watakatifu wokovu wao na utukufu,...

Listen

Episode 22

January 14, 2023 00:14:39
Episode Cover

SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za...

Listen