SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu

Episode 28 January 14, 2023 00:43:00
SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu

Jan 14 2023 | 00:43:00

/

Show Notes

Mungu ametupatia Mbingu na Nchi Mpya. Mungu anatueleza kwamba kile unachokiona hivi sasa, yaani mbingu hii na nchi ya kwanza, pamoja na vitu vyake vyote vitatoweka, na kwamba atatupatia badala yake mbingu mpya, nchi mpya, na bahari mpya, na kisha atavifanya vitu vyote kuwa vipya katika ulimwengu mpya ulioumbwa. Hii ina maanisha kwamba Bwana Mungu atatupatia Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi yake kwa watakatifu ambao wameshiriki katika ufufuo wa kwanza. Baraka hii ni thawabu toka kwa Mungu ambayo atawapatia wale watakatifu wake, ambao wamepokea ondoleo la dhambi.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 6

January 14, 2023 00:33:04
Episode Cover

SURA YA 10-2. Je, Unafahamu Kunyakuliwa Kwa Watakatifu Kutatokea Lini?

Hebu sasa tuangalie juu ya ni lini unyakuo utatokea. Kuna vifungu vingi katika Biblia vinavyozungumzia kuhusu unyakuo. Agano Jipya lina vifungu vingi vinavyozungumzia mada...

Listen

Episode 15

January 14, 2023 00:21:41
Episode Cover

SURA YA 15-1. Watakatifu Wanaoyasifia Matendo ya Bwana ya Kushangaza Angani (Ufunuo 15:1-8)

Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...

Listen

Episode 20

January 14, 2023 00:06:38
Episode Cover

SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...

Listen