Mungu ametupatia Mbingu na Nchi Mpya. Mungu anatueleza kwamba kile unachokiona hivi sasa, yaani mbingu hii na nchi ya kwanza, pamoja na vitu vyake vyote vitatoweka, na kwamba atatupatia badala yake mbingu mpya, nchi mpya, na bahari mpya, na kisha atavifanya vitu vyote kuwa vipya katika ulimwengu mpya ulioumbwa. Hii ina maanisha kwamba Bwana Mungu atatupatia Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi yake kwa watakatifu ambao wameshiriki katika ufufuo wa kwanza. Baraka hii ni thawabu toka kwa Mungu ambayo atawapatia wale watakatifu wake, ambao wamepokea ondoleo la dhambi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Hebu sasa tuangalie juu ya ni lini unyakuo utatokea. Kuna vifungu vingi katika Biblia vinavyozungumzia kuhusu unyakuo. Agano Jipya lina vifungu vingi vinavyozungumzia mada...
Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...
Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...