Mtume Yohana alimwona mnyama akitoka katika bahari. Mungu anatuonyesha sisi kile ambacho Mpinga Kristo atakifanya mara atakapotokea hapa duniani kwa kupitia Mnyama huyu ambaye Yohana alimwona. Mungu alimwonyesha Yohana huyu Mnyama mwenye vichwa saba na pembe kumi si kwa kumaanisha kwamba atatokea mnyama wa jinsi hii na kisha kuonekana duniani, bali alifanya hivyo ili kutuonyesha kwamba mtu fulani mwenye mamlaka na nguvu za huyu Mnyama atakuja kutokea, atawatesa watakatifu, na kisha atawaua kama wafia-dini.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...
Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba...
Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...