SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18)

Episode 11 January 14, 2023 00:33:11
SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18)

Jan 14 2023 | 00:33:11

/

Show Notes

Mtume Yohana alimwona mnyama akitoka katika bahari. Mungu anatuonyesha sisi kile ambacho Mpinga Kristo atakifanya mara atakapotokea hapa duniani kwa kupitia Mnyama huyu ambaye Yohana alimwona. Mungu alimwonyesha Yohana huyu Mnyama mwenye vichwa saba na pembe kumi si kwa kumaanisha kwamba atatokea mnyama wa jinsi hii na kisha kuonekana duniani, bali alifanya hivyo ili kutuonyesha kwamba mtu fulani mwenye mamlaka na nguvu za huyu Mnyama atakuja kutokea, atawatesa watakatifu, na kisha atawaua kama wafia-dini.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen

Episode 8

January 14, 2023 00:22:51
Episode Cover

SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli

Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba...

Listen

Episode 27

January 14, 2023 00:32:04
Episode Cover

SURA YA 21-1. Mji Mtakatifu Unaoshuka Toka Mbinguni (Ufunuo 21:1-27)

Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...

Listen