Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani na atakayekuwa amelala katika kaburi lake. Aya ya 13 inasema, “Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.” Mwili wa mwanadamu unaozama katika maji mara huliwa na samaki, na mwili wa mwanadamu aliyeungua hadi kufa mwili wake mara nyingi utakuwa hauna umbile lolote la kuweza kutambuliwa na yeyote. Hata hivyo, Biblia inatueleza kwamba nyakati za mwisho zitakapowadia, Mungu atawafufua watu wote kurudi na kuwa hai na kisha atawahukumu ili kuwapeleka Mbinguni au kuzimu, hii haitajalisha ikiwa watakuwa wamemezwa na Shetani au la, au ikiwa watakuwa wameuawa na Jehanamu, au ikiwa watakuwa wameunguzwa na moto.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...
Ufunuo 8 inaeleza juu ya mapigo ambayo Mungu atayaleta juu ya dunia hii. Moja kati ya maswali ya msingi hapa ni kwamba watakatifu watahusishwa...
Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba...