SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Episode 26 January 14, 2023 00:29:47
SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Jan 14 2023 | 00:29:47

/

Show Notes

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani na atakayekuwa amelala katika kaburi lake. Aya ya 13 inasema, “Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.” Mwili wa mwanadamu unaozama katika maji mara huliwa na samaki, na mwili wa mwanadamu aliyeungua hadi kufa mwili wake mara nyingi utakuwa hauna umbile lolote la kuweza kutambuliwa na yeyote. Hata hivyo, Biblia inatueleza kwamba nyakati za mwisho zitakapowadia, Mungu atawafufua watu wote kurudi na kuwa hai na kisha atawahukumu ili kuwapeleka Mbinguni au kuzimu, hii haitajalisha ikiwa watakuwa wamemezwa na Shetani au la, au ikiwa watakuwa wameuawa na Jehanamu, au ikiwa watakuwa wameunguzwa na moto.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 27

January 14, 2023 00:32:04
Episode Cover

SURA YA 21-1. Mji Mtakatifu Unaoshuka Toka Mbinguni (Ufunuo 21:1-27)

Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...

Listen

Episode 19

January 14, 2023 00:24:20
Episode Cover

SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)

Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika...

Listen

Episode 23

January 14, 2023 00:23:28
Episode Cover

SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Kifungu hiki kinawaelezea watakatifu wakimsifu Bwana Mungu wakati siku yao ya harusi na Mwana-kondoo ikikaribia. Bwana, Mungu wetu amewapatia watakatifu wokovu wao na utukufu,...

Listen