Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani na atakayekuwa amelala katika kaburi lake. Aya ya 13 inasema, “Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.” Mwili wa mwanadamu unaozama katika maji mara huliwa na samaki, na mwili wa mwanadamu aliyeungua hadi kufa mwili wake mara nyingi utakuwa hauna umbile lolote la kuweza kutambuliwa na yeyote. Hata hivyo, Biblia inatueleza kwamba nyakati za mwisho zitakapowadia, Mungu atawafufua watu wote kurudi na kuwa hai na kisha atawahukumu ili kuwapeleka Mbinguni au kuzimu, hii haitajalisha ikiwa watakuwa wamemezwa na Shetani au la, au ikiwa watakuwa wameuawa na Jehanamu, au ikiwa watakuwa wameunguzwa na moto.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kati ya mapigo ya matarumbeta saba, tumekwisha lipitia pigo pigo la tarumbeta la tano na la sita katika kifungu hicho hapo juu. Tarumbeta la...
Hebu sasa tuangalie juu ya ni lini unyakuo utatokea. Kuna vifungu vingi katika Biblia vinavyozungumzia kuhusu unyakuo. Agano Jipya lina vifungu vingi vinavyozungumzia mada...
Ufunuo 22:6-21 inatuonyesha juu ya tumaini la Mbinguni. Sura ya 22, ambayo ni aya ya mwisho katika Kitabu cha Ufunuo, inashughulikia juu ya uthibitisho...