SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Episode 24 January 14, 2023 00:26:55
SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Jan 14 2023 | 00:26:55

/

Show Notes

Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake lenye utukufu likipigana na kulishinda jeshi la Mpinga Kristo, na kisha kumtupa Mnyama na watumishi wake katika ziwa la moto hali wakiwa hai, huku wakiua jeshi la Mpinga Kristo lililosalia kwa upanga wa Neno utokao katika kinywa cha Bwana, na hivyo kuhitimisha vita vyake dhidi ya shetani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 22

January 14, 2023 00:14:39
Episode Cover

SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za...

Listen

Episode 3

January 14, 2023 00:13:41
Episode Cover

SURA YA 9-1. Pigo Toka Shimo Lisilo na Mwisho (Ufunuo 9:1-21)

Kile kitendo cha Mungu kumpatia malaika ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho maana yake ni kwamba aliamua kuleta pigo la kutisha kama...

Listen

Episode 26

January 14, 2023 00:29:47
Episode Cover

SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...

Listen