SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Episode 24 January 14, 2023 00:26:55
SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Jan 14 2023 | 00:26:55

/

Show Notes

Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake lenye utukufu likipigana na kulishinda jeshi la Mpinga Kristo, na kisha kumtupa Mnyama na watumishi wake katika ziwa la moto hali wakiwa hai, huku wakiua jeshi la Mpinga Kristo lililosalia kwa upanga wa Neno utokao katika kinywa cha Bwana, na hivyo kuhitimisha vita vyake dhidi ya shetani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 30

January 14, 2023 00:43:26
Episode Cover

SURA YA 22-2. Uwe na Furaha na Thabiti Katika Tumaini la Utukufu

Ufunuo 22:6-21 inatuonyesha juu ya tumaini la Mbinguni. Sura ya 22, ambayo ni aya ya mwisho katika Kitabu cha Ufunuo, inashughulikia juu ya uthibitisho...

Listen

Episode 18

January 14, 2023 00:14:21
Episode Cover

SURA YA 16-2. Unachopaswa Kukifanya Kabla ya Kumiminwa Kwa Mabakuli Saba Ni…

Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...

Listen

Episode 17

January 14, 2023 00:20:40
Episode Cover

SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21)

Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya...

Listen