Hii ni kuhusiana na watakatifu waliozaliwa tena upya, ambao walifufuliwa na kunyakuliwa baada ya kuuawa kama wafia-dini na Mpinga Kristo, wapo wakimsifu Bwana Mbinguni. Watakatifu waliouawa na Mpinga Kristo kama wafia-dini na watakatifu waliokufa hapo kabla sasa watakuwa Mbinguni, huku wakimsifu Bwana kwa wimbo mpya. Katika aya ya 4 tunaona kwamba watu 144,000 waliimba wimbo huu mpya. Sasa unaweza kushangaa, kwamba watakatifu wanaweza kuwa ni hao watu 144,000 tu. Lakini namba 14 ina maanisha kwamba mambo yote yamebadilika (Mathayo 1:17).
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Bwana Mungu wetu atawapatia watakatifu thawabu ya Ufalme wa Kristo kwa miaka elfu moja, atafanya hivyo kuwafidia kwa kazi waliyoifanya kwa ajili ya injili....
Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...
Maswali & Majibu