SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Episode 20 January 14, 2023 00:06:38
SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Jan 14 2023 | 00:06:38

/

Show Notes

Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi, ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake. Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi. Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa:

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 11

January 14, 2023 00:33:11
Episode Cover

SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18)

Mtume Yohana alimwona mnyama akitoka katika bahari. Mungu anatuonyesha sisi kile ambacho Mpinga Kristo atakifanya mara atakapotokea hapa duniani kwa kupitia Mnyama huyu ambaye...

Listen

Episode 23

January 14, 2023 00:23:28
Episode Cover

SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Kifungu hiki kinawaelezea watakatifu wakimsifu Bwana Mungu wakati siku yao ya harusi na Mwana-kondoo ikikaribia. Bwana, Mungu wetu amewapatia watakatifu wokovu wao na utukufu,...

Listen

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen