Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake,na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.” Hii sentensi ya “Mwanamke aliyevikwa jua” ina maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na sentensi inayosema “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” ina maanisha kwamba Kanisa la Mungu bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Hii inatuonyesha kwamba Kanisa la Mungu hapa ulimwenguni, na watakatifu ambao ni sehemu ya Kanisa hilo, watamtukuza Mungu kwa kuuawa na kwa kuifia-dini.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ufunuo 8 inaeleza juu ya mapigo ambayo Mungu atayaleta juu ya dunia hii. Moja kati ya maswali ya msingi hapa ni kwamba watakatifu watahusishwa...
Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...
Sura ya 15 inaeleza juu ya mapigo ya mabakuli saba, ambayo yatamiminwa mara baada ya kunyakuliwa kwa watakatifu, mapigo hayo yatamiminwa juu ya wale...