Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake,na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.” Hii sentensi ya “Mwanamke aliyevikwa jua” ina maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na sentensi inayosema “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” ina maanisha kwamba Kanisa la Mungu bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Hii inatuonyesha kwamba Kanisa la Mungu hapa ulimwenguni, na watakatifu ambao ni sehemu ya Kanisa hilo, watamtukuza Mungu kwa kuuawa na kwa kuifia-dini.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake...
Hebu sasa tuangalie juu ya ni lini unyakuo utatokea. Kuna vifungu vingi katika Biblia vinavyozungumzia kuhusu unyakuo. Agano Jipya lina vifungu vingi vinavyozungumzia mada...
Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama...