SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Episode 10 January 14, 2023 00:24:31
SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Jan 14 2023 | 00:24:31

/

Show Notes

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake,na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.” Hii sentensi ya “Mwanamke aliyevikwa jua” ina maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na sentensi inayosema “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” ina maanisha kwamba Kanisa la Mungu bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Hii inatuonyesha kwamba Kanisa la Mungu hapa ulimwenguni, na watakatifu ambao ni sehemu ya Kanisa hilo, watamtukuza Mungu kwa kuuawa na kwa kuifia-dini.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 14, 2023 00:12:03
Episode Cover

SURA YA 8-1. Matarumbeta Yanayoyatangaza Mapigo Saba (Ufunuo 8:1-13)

Ufunuo 8 inaeleza juu ya mapigo ambayo Mungu atayaleta juu ya dunia hii. Moja kati ya maswali ya msingi hapa ni kwamba watakatifu watahusishwa...

Listen

Episode 18

January 14, 2023 00:14:21
Episode Cover

SURA YA 16-2. Unachopaswa Kukifanya Kabla ya Kumiminwa Kwa Mabakuli Saba Ni…

Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...

Listen

Episode 16

January 14, 2023 00:07:41
Episode Cover

SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele

Sura ya 15 inaeleza juu ya mapigo ya mabakuli saba, ambayo yatamiminwa mara baada ya kunyakuliwa kwa watakatifu, mapigo hayo yatamiminwa juu ya wale...

Listen