Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana mbinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake,na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili.” Hii sentensi ya “Mwanamke aliyevikwa jua” ina maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na sentensi inayosema “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” ina maanisha kwamba Kanisa la Mungu bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Hii inatuonyesha kwamba Kanisa la Mungu hapa ulimwenguni, na watakatifu ambao ni sehemu ya Kanisa hilo, watamtukuza Mungu kwa kuuawa na kwa kuifia-dini.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Neno la Ufunuo 11 ni la muhimu sana kwetu, ni muhimu kama lilivyo Neno lote la Mungu. Ili Mungu aweze kuuangamiza ulimwengu, basi kuna...
Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...
Kile kitendo cha Mungu kumpatia malaika ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho maana yake ni kwamba aliamua kuleta pigo la kutisha kama...