SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)

Episode 21 January 14, 2023 00:24:45
SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)

Jan 14 2023 | 00:24:45

/

Show Notes

Watu wanaweza kusikia mahubiri juu ya baraka na laana za Mungu kwa kupitia watumishi ambao Mungu amewatuma hapa duniani ili kuzifanya kazi zake. Hivyo, ili muweze kuwekwa huru toka katika dhambi zenu zote na hali ya kutokuwa na furaha, ninyi nyote mnapaswa kulipokea katika mioyo yenu na kuliamini Neno la baraka ya kiroho ya Mbinguni linalohubiriwa na watumishi wa Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 25

January 14, 2023 00:21:34
Episode Cover

SURA YA 20-1. Joka Atafungwa Katika Shimo la Kuzimu Lisilo na Mwisho (Ufunuo 20:1-15)

Bwana Mungu wetu atawapatia watakatifu thawabu ya Ufalme wa Kristo kwa miaka elfu moja, atafanya hivyo kuwafidia kwa kazi waliyoifanya kwa ajili ya injili....

Listen

Episode 2

January 14, 2023 00:37:25
Episode Cover

SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?

Katika Ufunuo 5 kunaonekana andiko liliwekwa mihuri saba, ambalo Yesu alilichukua. Hii ilimaanisha kwamba Yesu alipewa mamlaka yote na nguvu za Mungu, na kwamba...

Listen

Episode 15

January 14, 2023 00:21:41
Episode Cover

SURA YA 15-1. Watakatifu Wanaoyasifia Matendo ya Bwana ya Kushangaza Angani (Ufunuo 15:1-8)

Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...

Listen