SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Episode 23 January 14, 2023 00:23:28
SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Jan 14 2023 | 00:23:28

/

Show Notes

Kifungu hiki kinawaelezea watakatifu wakimsifu Bwana Mungu wakati siku yao ya harusi na Mwana-kondoo ikikaribia. Bwana, Mungu wetu amewapatia watakatifu wokovu wao na utukufu, ili kwamba waweze kumsifu Bwana kwa nia njema. Watakatifu walionyakuliwa angani wataendelea kumsifu Bwana Mungu, kwa kuwa neema zake ni kuu kwa kuwakomboa toka katika dhambi zao zote na adhabu ya dhambi hizo isiyokwepeka.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 24

January 14, 2023 00:26:55
Episode Cover

SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake...

Listen

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen

Episode 22

January 14, 2023 00:14:39
Episode Cover

SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za...

Listen