Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika aya ya 1 anasimama kumaanisha dini za ulimwengu, ilhali “mwanamke” ana maanisha ni ulimwengu. Na kwa upande mwingine, “Mnyama,” anasimama kumwakilisha Mpinga Kristo. Na sentensi isemayo “maji mengi” ina maanisha ni mafundisho ya Ibilisi. Sentensi hii, “Nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi,” inatueleza kwamba Mungu atazihukumu dini za ulimwengu ambazo zinakaa katika mafundisho ya Shetani.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...
Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...
Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya...