SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)

Episode 19 January 14, 2023 00:24:20
SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)

Jan 14 2023 | 00:24:20

/

Show Notes

Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika aya ya 1 anasimama kumaanisha dini za ulimwengu, ilhali “mwanamke” ana maanisha ni ulimwengu. Na kwa upande mwingine, “Mnyama,” anasimama kumwakilisha Mpinga Kristo. Na sentensi isemayo “maji mengi” ina maanisha ni mafundisho ya Ibilisi. Sentensi hii, “Nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi,” inatueleza kwamba Mungu atazihukumu dini za ulimwengu ambazo zinakaa katika mafundisho ya Shetani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 26

January 14, 2023 00:29:47
Episode Cover

SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...

Listen

Episode 15

January 14, 2023 00:21:41
Episode Cover

SURA YA 15-1. Watakatifu Wanaoyasifia Matendo ya Bwana ya Kushangaza Angani (Ufunuo 15:1-8)

Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...

Listen

Episode 17

January 14, 2023 00:20:40
Episode Cover

SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21)

Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya...

Listen