SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele

Episode 16 January 14, 2023 00:07:41
SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele

Jan 14 2023 | 00:07:41

/

Show Notes

Sura ya 15 inaeleza juu ya mapigo ya mabakuli saba, ambayo yatamiminwa mara baada ya kunyakuliwa kwa watakatifu, mapigo hayo yatamiminwa juu ya wale ambao watakuwa wamesimama kama maadui wa Mungu. Namba “saba” ambayo inajitokeza sana katika kitabu cha Ufunuo, kama vile mihuri saba, matarumbeta saba, na mabakuli saba, inasimama kumaanisha ukamilifu wa Mungu na nguvu zake kuu. Yesu Kristo ni Mungu mwenye nguvu na anayejua yote. Kule kusema kuwa Yesu ni Mungu mwenye nguvu na anayejua yote kuna maanisha kuwa Bwana wetu ni Mungu Mwenyezi ambaye kwake yeye hakuna kisichowezekana. Bwana wetu ni Mungu Mwenyewe ambaye amepanga vitu vyote na ambaye ana nguvu na mamlaka ya kuvitumiza vyote.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 26

January 14, 2023 00:29:47
Episode Cover

SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...

Listen

Episode 12

January 14, 2023 00:37:50
Episode Cover

SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama...

Listen

Episode 29

January 14, 2023 00:30:58
Episode Cover

SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)

Kifungu hiki kinaeleza kwamba Yohana alionyeshwa “mto safi wa maji ya uzima, wenye kung’aa kama bilauri.” Neno maji linatumika katika ulimwengu huu kama chanzo...

Listen