SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Episode 12 January 14, 2023 00:37:50
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Jan 14 2023 | 00:37:50

/

Show Notes

Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama akitoka katika bahari. Huyu Mnyama, ambaye ana pembe kumi na vichwa 7 si mwingine bali ni Mpinga Kristo. Kifungu hiki kinatueleza kwamba juu ya pembe za yule Mnyama kulikuwa na vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake kulikuwa na majina ya makufuru. Pia tunaelezwa kwamba huyu Mnyama alikuwa ni kama chui, na miguu yake ikiwa kama miguu ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama mdomo wa simba. Kwa nyongeza, yule Joka akampatia nguvu zake, kiti chake cha enzi, na mamlaka makuu. Moja ya kichwa chake kilikuwa na jeraha la mauti, lakini hili jeraha la mauti lilipona kwa miujiza.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 21

January 14, 2023 00:24:45
Episode Cover

SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)

Watu wanaweza kusikia mahubiri juu ya baraka na laana za Mungu kwa kupitia watumishi ambao Mungu amewatuma hapa duniani ili kuzifanya kazi zake. Hivyo,...

Listen

Episode 19

January 14, 2023 00:24:20
Episode Cover

SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)

Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika...

Listen

Episode 3

January 14, 2023 00:13:41
Episode Cover

SURA YA 9-1. Pigo Toka Shimo Lisilo na Mwisho (Ufunuo 9:1-21)

Kile kitendo cha Mungu kumpatia malaika ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho maana yake ni kwamba aliamua kuleta pigo la kutisha kama...

Listen