SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Episode 12 January 14, 2023 00:37:50
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Jan 14 2023 | 00:37:50

/

Show Notes

Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama akitoka katika bahari. Huyu Mnyama, ambaye ana pembe kumi na vichwa 7 si mwingine bali ni Mpinga Kristo. Kifungu hiki kinatueleza kwamba juu ya pembe za yule Mnyama kulikuwa na vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake kulikuwa na majina ya makufuru. Pia tunaelezwa kwamba huyu Mnyama alikuwa ni kama chui, na miguu yake ikiwa kama miguu ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama mdomo wa simba. Kwa nyongeza, yule Joka akampatia nguvu zake, kiti chake cha enzi, na mamlaka makuu. Moja ya kichwa chake kilikuwa na jeraha la mauti, lakini hili jeraha la mauti lilipona kwa miujiza.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 14, 2023 00:12:03
Episode Cover

SURA YA 8-1. Matarumbeta Yanayoyatangaza Mapigo Saba (Ufunuo 8:1-13)

Ufunuo 8 inaeleza juu ya mapigo ambayo Mungu atayaleta juu ya dunia hii. Moja kati ya maswali ya msingi hapa ni kwamba watakatifu watahusishwa...

Listen

Episode 7

January 14, 2023 00:39:26
Episode Cover

SURA YA 11-1. Mizeituni Miwili na Manabii Wawili ni Akina Nani? (Ufunuo 11:1-19)

Neno la Ufunuo 11 ni la muhimu sana kwetu, ni muhimu kama lilivyo Neno lote la Mungu. Ili Mungu aweze kuuangamiza ulimwengu, basi kuna...

Listen

Episode 22

January 14, 2023 00:14:39
Episode Cover

SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za...

Listen