SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Episode 12 January 14, 2023 00:37:50
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 13-2. Kuonekana Kwa Mpinga Kristo

Jan 14 2023 | 00:37:50

/

Show Notes

Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama akitoka katika bahari. Huyu Mnyama, ambaye ana pembe kumi na vichwa 7 si mwingine bali ni Mpinga Kristo. Kifungu hiki kinatueleza kwamba juu ya pembe za yule Mnyama kulikuwa na vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake kulikuwa na majina ya makufuru. Pia tunaelezwa kwamba huyu Mnyama alikuwa ni kama chui, na miguu yake ikiwa kama miguu ya dubu, na mdomo wake ulikuwa kama mdomo wa simba. Kwa nyongeza, yule Joka akampatia nguvu zake, kiti chake cha enzi, na mamlaka makuu. Moja ya kichwa chake kilikuwa na jeraha la mauti, lakini hili jeraha la mauti lilipona kwa miujiza.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen

Episode 5

January 14, 2023 00:15:01
Episode Cover

SURA YA 10-1. Je, Unafahamu Wakati wa Kunyakuliwa ni Lini? (Ufunuo 10:1-11)

Msingi wa sura hii unapatikana katika aya ya 7: “isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo...

Listen

Episode 26

January 14, 2023 00:29:47
Episode Cover

SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...

Listen