SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)

Episode 29 January 14, 2023 00:30:58
SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)

Jan 14 2023 | 00:30:58

/

Show Notes

Kifungu hiki kinaeleza kwamba Yohana alionyeshwa “mto safi wa maji ya uzima, wenye kung’aa kama bilauri.” Neno maji linatumika katika ulimwengu huu kama chanzo cha uhai na uzima. Aya hii inatueleza kwamba maji haya ya uzima yanatiririka katika Mbingu na Nchi Mpya mahali ambako watakatifu wataishi milele. Hali ukitiririka toka katika kiti cha enzi cha Mwana-kondoo, mto wa maji ya uzima unaulowanisha Ufalme wa Mbinguni na uvifanya vitu vyote kuwa vipya. Na katika hii sentensi inayosema, “kiti cha enzi cha Mwana-Kondoo,” neno “Mwana-Kondoo” ina maanisha ni Yesu Kristo, ambaye amewaokoa wanadamu kwa injili ya maji na Roho wakati alipokuwa hapa duniani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 2

January 14, 2023 00:37:25
Episode Cover

SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?

Katika Ufunuo 5 kunaonekana andiko liliwekwa mihuri saba, ambalo Yesu alilichukua. Hii ilimaanisha kwamba Yesu alipewa mamlaka yote na nguvu za Mungu, na kwamba...

Listen

Episode 27

January 14, 2023 00:32:04
Episode Cover

SURA YA 21-1. Mji Mtakatifu Unaoshuka Toka Mbinguni (Ufunuo 21:1-27)

Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...

Listen

Episode 19

January 14, 2023 00:24:20
Episode Cover

SURA YA 17-1. Hukumu ya Kahaba Akaaye Katika Maji Mengi (Ufunuo 17:1-18)

Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika...

Listen