SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)

Episode 29 January 14, 2023 00:30:58
SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 22-1. Mbingu na Nchi Mpya, Ambapo Maji ya Uzima Yanatiririka (Ufunuo 22:1-21)

Jan 14 2023 | 00:30:58

/

Show Notes

Kifungu hiki kinaeleza kwamba Yohana alionyeshwa “mto safi wa maji ya uzima, wenye kung’aa kama bilauri.” Neno maji linatumika katika ulimwengu huu kama chanzo cha uhai na uzima. Aya hii inatueleza kwamba maji haya ya uzima yanatiririka katika Mbingu na Nchi Mpya mahali ambako watakatifu wataishi milele. Hali ukitiririka toka katika kiti cha enzi cha Mwana-kondoo, mto wa maji ya uzima unaulowanisha Ufalme wa Mbinguni na uvifanya vitu vyote kuwa vipya. Na katika hii sentensi inayosema, “kiti cha enzi cha Mwana-Kondoo,” neno “Mwana-Kondoo” ina maanisha ni Yesu Kristo, ambaye amewaokoa wanadamu kwa injili ya maji na Roho wakati alipokuwa hapa duniani.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 2

January 14, 2023 00:37:25
Episode Cover

SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?

Katika Ufunuo 5 kunaonekana andiko liliwekwa mihuri saba, ambalo Yesu alilichukua. Hii ilimaanisha kwamba Yesu alipewa mamlaka yote na nguvu za Mungu, na kwamba...

Listen

Episode 5

January 14, 2023 00:15:01
Episode Cover

SURA YA 10-1. Je, Unafahamu Wakati wa Kunyakuliwa ni Lini? (Ufunuo 10:1-11)

Msingi wa sura hii unapatikana katika aya ya 7: “isipokuwa katika siku za sauti ya malaika wa saba atakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo...

Listen

Episode 26

January 14, 2023 00:29:47
Episode Cover

SURA YA 20-2. Tutawezaje Kupita Toka Mautini Kwenda Uzimani?

Mungu anatueleza kwamba wakati atakapoufanya ulimwengu huu kutoweka na kisha kutupatia Mbingu na Nchi Mpya, basi atamfufua kila mwenye dhambi aliyewahi kuishi hapa duniani...

Listen