SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21)

Episode 17 January 14, 2023 00:20:40
SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 16-1. Mwanzo wa Mapigo ya Mabakuli Saba (Ufunuo 16:1-21)

Jan 14 2023 | 00:20:40

/

Show Notes

Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya hasira. Viumbe wote pamoja na watu watafutwa na dhoruba ya ghadhabu ya Mungu, ambayo italipuka baada ya miaka mingi ya uvumilivu, kisha wanadamu watateseka kwa mapigo makuu yatakayomiminwa juu yao katika kipindi kitakachokuwa kimebakia katika ile miaka saba ya Dhiki Kuu. Wakati huo, ulimwengu huu utafinyangwa na kuwa kama majivu maana utakuwa umevunjwavunjwa katika vipande, na utasahauliwa kabisa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 20

January 14, 2023 00:06:38
Episode Cover

SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...

Listen

Episode 11

January 14, 2023 00:33:11
Episode Cover

SURA YA 13-1. Kutokea Kwa Mpinga Kristo (Ufunuo 13:1-18)

Mtume Yohana alimwona mnyama akitoka katika bahari. Mungu anatuonyesha sisi kile ambacho Mpinga Kristo atakifanya mara atakapotokea hapa duniani kwa kupitia Mnyama huyu ambaye...

Listen

Episode 27

January 14, 2023 00:32:04
Episode Cover

SURA YA 21-1. Mji Mtakatifu Unaoshuka Toka Mbinguni (Ufunuo 21:1-27)

Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...

Listen