Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya hasira. Viumbe wote pamoja na watu watafutwa na dhoruba ya ghadhabu ya Mungu, ambayo italipuka baada ya miaka mingi ya uvumilivu, kisha wanadamu watateseka kwa mapigo makuu yatakayomiminwa juu yao katika kipindi kitakachokuwa kimebakia katika ile miaka saba ya Dhiki Kuu. Wakati huo, ulimwengu huu utafinyangwa na kuwa kama majivu maana utakuwa umevunjwavunjwa katika vipande, na utasahauliwa kabisa.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Hii inatueleza juu ya Kanisa la Mungu likimpatia Mungu utukufu kwa kupitia kifo cha kuifia-dini. “Mwanamke aliyevikwa jua” ana maanisha ni Kanisa la Mungu...
Ili kumshinda Mpinga Kristo mara atakapoonekana muda si mrefu toka sasa, basi imewapaswa watakatifu kujiandaa kuuawana kuifia-dini kwa imani yao katika Bwana. Ili kuweza...
Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba...