Mungu ataileta hasira yake juu ya watumishi wa Mpinga Kristo na watu wake wataokuwa wakiishi katika dunia hii kwa mapigo ya mabakuli saba ya hasira. Viumbe wote pamoja na watu watafutwa na dhoruba ya ghadhabu ya Mungu, ambayo italipuka baada ya miaka mingi ya uvumilivu, kisha wanadamu watateseka kwa mapigo makuu yatakayomiminwa juu yao katika kipindi kitakachokuwa kimebakia katika ile miaka saba ya Dhiki Kuu. Wakati huo, ulimwengu huu utafinyangwa na kuwa kama majivu maana utakuwa umevunjwavunjwa katika vipande, na utasahauliwa kabisa.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...
Mtume Yohana alimwona mnyama akitoka katika bahari. Mungu anatuonyesha sisi kile ambacho Mpinga Kristo atakifanya mara atakapotokea hapa duniani kwa kupitia Mnyama huyu ambaye...
Hili Neno lina maanisha kwamba Bwana Mungu wetu ataitoa Mbingu na Nchi Mpya kama zawadi kwa watakatifu walioshiriki katika ufufuo wa kwanza. Kuanzia wakati...