SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Episode 22 January 14, 2023 00:14:39
SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 18-2. “Tokeni Kwake, Enyi Watu Wangu, Wala Msipokee Mapigo Yake”

Jan 14 2023 | 00:14:39

/

Show Notes

Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za mwisho ulimwengu huu utakuwa umegeuka na kuwa mchafu na wenye dhambi sana mbele ya macho ya Mungu, na kwa kuwa Mungu hatakuwa na uamuzi mwingine zaidi ya kuuangamiza ulimwengu pamoja na kuwa aliuumba yeye mwenyewe, basi Mungu atayaruhusu mapigo makubwa ambayo yatauhitimisha ulimwengu. Hivyo, ulimwengu huu utafanywa ukiwa hadi pale utakapokuwa umeharibiwa kabisa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 18

January 14, 2023 00:14:21
Episode Cover

SURA YA 16-2. Unachopaswa Kukifanya Kabla ya Kumiminwa Kwa Mabakuli Saba Ni…

Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...

Listen

Episode 3

January 14, 2023 00:13:41
Episode Cover

SURA YA 9-1. Pigo Toka Shimo Lisilo na Mwisho (Ufunuo 9:1-21)

Kile kitendo cha Mungu kumpatia malaika ufunguo wa shimo la kuzimu lisilo na mwisho maana yake ni kwamba aliamua kuleta pigo la kutisha kama...

Listen

Episode 31

January 14, 2023 01:11:05
Episode Cover

Maswali & Majibu

Maswali & Majibu

Listen