Katika sura ya 18 Mungu anatueleza kwamba atauangamiza mji ule mkubwa wa Babeli kwa mapigo yake makuu. Hii ni kwa sababu zitakapofikia nyakati za mwisho ulimwengu huu utakuwa umegeuka na kuwa mchafu na wenye dhambi sana mbele ya macho ya Mungu, na kwa kuwa Mungu hatakuwa na uamuzi mwingine zaidi ya kuuangamiza ulimwengu pamoja na kuwa aliuumba yeye mwenyewe, basi Mungu atayaruhusu mapigo makubwa ambayo yatauhitimisha ulimwengu. Hivyo, ulimwengu huu utafanywa ukiwa hadi pale utakapokuwa umeharibiwa kabisa.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Kati ya mapigo ya matarumbeta saba, tumekwisha lipitia pigo pigo la tarumbeta la tano na la sita katika kifungu hicho hapo juu. Tarumbeta la...
Ili kumshinda Mpinga Kristo mara atakapoonekana muda si mrefu toka sasa, basi imewapaswa watakatifu kujiandaa kuuawana kuifia-dini kwa imani yao katika Bwana. Ili kuweza...
Sura ya 15 inatueleza juu ya mwisho wa ulimwengu utakaoletwa na mapigo ya mabakuli saba yatakayomiminwa na malaika saba. Je, hii “ishara nyingine katika...