SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)

Episode 9 January 14, 2023 00:17:14
SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)

Jan 14 2023 | 00:17:14

/

Show Notes

Hii inatueleza juu ya Kanisa la Mungu likimpatia Mungu utukufu kwa kupitia kifo cha kuifia-dini. “Mwanamke aliyevikwa jua” ana maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na ule msemo “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” una maanisha kuwa Kanisa bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Na kwa upande mwingine, msemo unaosema “na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili,” una maanisha Kanisa la Mungu litayashinda mateso na vitisho vya Shetani kwa kuuawa na kuifia-dini.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 14, 2023 00:39:26
Episode Cover

SURA YA 11-1. Mizeituni Miwili na Manabii Wawili ni Akina Nani? (Ufunuo 11:1-19)

Neno la Ufunuo 11 ni la muhimu sana kwetu, ni muhimu kama lilivyo Neno lote la Mungu. Ili Mungu aweze kuuangamiza ulimwengu, basi kuna...

Listen

Episode 20

January 14, 2023 00:06:38
Episode Cover

SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...

Listen

Episode 24

January 14, 2023 00:26:55
Episode Cover

SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake...

Listen