Hii inatueleza juu ya Kanisa la Mungu likimpatia Mungu utukufu kwa kupitia kifo cha kuifia-dini. “Mwanamke aliyevikwa jua” ana maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na ule msemo “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” una maanisha kuwa Kanisa bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Na kwa upande mwingine, msemo unaosema “na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili,” una maanisha Kanisa la Mungu litayashinda mateso na vitisho vya Shetani kwa kuuawa na kuifia-dini.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
Ili kuweze kuitafsiri vizuri sura ya 17 ni muhimu sana kumfahamu huyu kahaba, mwanamke, na Mnyama anayetajwa katika kifungu kikuu. Huyu “kahaba” anayetajwa katika...
Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba...
Kwa kuzingatia kifungu kikuu hapo juu, sasa nitajadili juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo na mauaji ya wafia-dini. Kuanzia sura ya 13 tunamwona Mnyama...