SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)

Episode 9 January 14, 2023 00:17:14
SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 12-1. Kanisa la Mungu Ambalo Litadhuriwa Sana Hapo Baadaye (Ufunuo 12:1-17)

Jan 14 2023 | 00:17:14

/

Show Notes

Hii inatueleza juu ya Kanisa la Mungu likimpatia Mungu utukufu kwa kupitia kifo cha kuifia-dini. “Mwanamke aliyevikwa jua” ana maanisha ni Kanisa la Mungu hapa duniani, na ule msemo “na mwezi ulikuwa chini ya miguu yake” una maanisha kuwa Kanisa bado lipo chini ya utawala wa ulimwengu. Na kwa upande mwingine, msemo unaosema “na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi na mbili,” una maanisha Kanisa la Mungu litayashinda mateso na vitisho vya Shetani kwa kuuawa na kuifia-dini.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 14

January 14, 2023 00:17:40
Episode Cover

SURA YA 14-2. Watakatifu Wafanye Nini Mara Mpinga Kristo Atakapoonekana?

Ili kumshinda Mpinga Kristo mara atakapoonekana muda si mrefu toka sasa, basi imewapaswa watakatifu kujiandaa kuuawana kuifia-dini kwa imani yao katika Bwana. Ili kuweza...

Listen

Episode 21

January 14, 2023 00:24:45
Episode Cover

SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)

Watu wanaweza kusikia mahubiri juu ya baraka na laana za Mungu kwa kupitia watumishi ambao Mungu amewatuma hapa duniani ili kuzifanya kazi zake. Hivyo,...

Listen

Episode 24

January 14, 2023 00:26:55
Episode Cover

SURA YA 19-2. Ni Wenye Haki Tu Ndio Wanaoweza Kusubiria Kurudi Kwa Kristo Katika Tumaini

Katika sura iliyopita, tuliona jinsi ambavyo Mungu atakavyoyaleta mapigo yake ya kutisha katika ulimwengu huu. Katika sura hii, sasa tunamwona Kristo na jeshi lake...

Listen