SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli

Episode 8 January 14, 2023 00:22:51
SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 11-2. Wokovu wa Watu wa Israeli

Jan 14 2023 | 00:22:51

/

Show Notes

Kwa nini Mungu aliwatuma manabii wawili kwenda kwa watu wa Israeli? Mungu alifanya hivyo ili hasahasa kuwaokoa watu wa Israeli. Kifungu kikuu kinatueleza kwamba Mungu atawafanya mashahidi wake wawili kutabiri kwa siku 1,260. Hii inalenga kuwaokoa Waisraeli kwa mara ya mwisho. Kule kusema kwamba Mungu atawaokoa watu wa Israeli kuna maanisha pia kwamba wakati huo mwisho wa dunia utakuwa umefika.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 23

January 14, 2023 00:23:28
Episode Cover

SURA YA 19-1. Ufalme Utakaomilikiwa Na Mwenyezi (Ufunuo 19:1-21)

Kifungu hiki kinawaelezea watakatifu wakimsifu Bwana Mungu wakati siku yao ya harusi na Mwana-kondoo ikikaribia. Bwana, Mungu wetu amewapatia watakatifu wokovu wao na utukufu,...

Listen

Episode 31

January 14, 2023 01:11:05
Episode Cover

Maswali & Majibu

Maswali & Majibu

Listen

Episode 20

January 14, 2023 00:06:38
Episode Cover

SURA YA 17-2. Umakini Wetu Uzingatie Mapenzi ya Mungu

Ufunuo 17:1-5 inasema, “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu...

Listen