SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?

Episode 2 January 14, 2023 00:37:25
SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 8-2. Je, Mapigo ya Matarumbeta Saba ni Halisi?

Jan 14 2023 | 00:37:25

/

Show Notes

Katika Ufunuo 5 kunaonekana andiko liliwekwa mihuri saba, ambalo Yesu alilichukua. Hii ilimaanisha kwamba Yesu alipewa mamlaka yote na nguvu za Mungu, na kwamba atauongoza ulimwengu kwa mujibu wa mpango wa Mungu kuanzia hapo na kuendelea. Ufunuo 8 inaanza kwa kifungu hiki, “Hata alipoifungua muhuri ya saba, kukawa kimya mbinguni kama muda wa nusu saa. Nami nikawaona wale malaika saba wasimamao mbele za Mungu, nao wakapewa baragumu saba.” Hivyo, Yesu anaifungua muhuri ya saba, kisha anatuonyesha vitu vitakavyokuja.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 31

January 14, 2023 01:11:05
Episode Cover

Maswali & Majibu

Maswali & Majibu

Listen

Episode 13

January 14, 2023 00:30:47
Episode Cover

SURA YA 14-1. Sifa za Wafia-dini Waliofufuka na Kunyakuliwa (Ufunuo 14:1-20)

Hii ni kuhusiana na watakatifu waliozaliwa tena upya, ambao walifufuliwa na kunyakuliwa baada ya kuuawa kama wafia-dini na Mpinga Kristo, wapo wakimsifu Bwana Mbinguni....

Listen

Episode 18

January 14, 2023 00:14:21
Episode Cover

SURA YA 16-2. Unachopaswa Kukifanya Kabla ya Kumiminwa Kwa Mabakuli Saba Ni…

Kati ya mapigo ya mabakuli saba, pigo la kwanza ni lile la majipu, pigo la pili ni lile la bahari kugeuka na kuwa damu,...

Listen