SURA YA 14-2. Watakatifu Wafanye Nini Mara Mpinga Kristo Atakapoonekana?

Episode 14 January 14, 2023 00:17:40
SURA YA 14-2. Watakatifu Wafanye Nini Mara Mpinga Kristo Atakapoonekana?
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 14-2. Watakatifu Wafanye Nini Mara Mpinga Kristo Atakapoonekana?

Jan 14 2023 | 00:17:40

/

Show Notes

Ili kumshinda Mpinga Kristo mara atakapoonekana muda si mrefu toka sasa, basi imewapaswa watakatifu kujiandaa kuuawana kuifia-dini kwa imani yao katika Bwana. Ili kuweza kufanya hivyo, ni lazima wafahamu vizuri kuhusu mipango miovu ambayo Mpinga Kristo ataileta hapa duniani. Ni baada ya kuifahami mipango hiyo ndipo watakatifu watakapoweza kusimama kinyume naye na kumshinda kwa imani. Shetani atajaribu kuziangamiza imani za Wakristo kwa kuwafanya watu waipokee alama ya jina lake au namba yake.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 16

January 14, 2023 00:07:41
Episode Cover

SURA YA 15-2. Kituo cha Kugawa Hatma ya Milele

Sura ya 15 inaeleza juu ya mapigo ya mabakuli saba, ambayo yatamiminwa mara baada ya kunyakuliwa kwa watakatifu, mapigo hayo yatamiminwa juu ya wale...

Listen

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen

Episode 28

January 14, 2023 00:43:00
Episode Cover

SURA YA 21-2. Ni Lazima Tuwe na Imani Iliyothibitishwa na Mungu

Mungu ametupatia Mbingu na Nchi Mpya. Mungu anatueleza kwamba kile unachokiona hivi sasa, yaani mbingu hii na nchi ya kwanza, pamoja na vitu vyake...

Listen