SURA YA 10-2. Je, Unafahamu Kunyakuliwa Kwa Watakatifu Kutatokea Lini?

Episode 6 January 14, 2023 00:33:04
SURA YA 10-2. Je, Unafahamu Kunyakuliwa Kwa Watakatifu Kutatokea Lini?
Komentare na Mahubiri Juu ya Kitabu cha Ufunuo - JE, NYAKATI ZA MPINGA KRISTO, KUFIA-DINI, KUNYAKULIWA NA UFALME WA MILENIA ZINAKUJA? (II)
SURA YA 10-2. Je, Unafahamu Kunyakuliwa Kwa Watakatifu Kutatokea Lini?

Jan 14 2023 | 00:33:04

/

Show Notes

Hebu sasa tuangalie juu ya ni lini unyakuo utatokea. Kuna vifungu vingi katika Biblia vinavyozungumzia kuhusu unyakuo. Agano Jipya lina vifungu vingi vinavyozungumzia mada hiyo, vivyo hivyo Agano lake Kale, kwa mfano ni wapi tunapoweza kuona hivyo, Eliya alichukuliwa mbinguni katika gari la farasi la moto, na Enoki aliyetembea na Mungu naye pia alichukuliwa na Mungu. Kama inavyoweza kuonekana, Biblia inazungumzia juu ya kunyakuliwa katika sehemu nyingi. Unyakuo maana yake ni ‘kuinuliwa juu.’ Inahusiana na tendo la Mungu la kuwainua watu wake kwenda Mbinguni kwa nguvu zake.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 13

January 14, 2023 00:30:47
Episode Cover

SURA YA 14-1. Sifa za Wafia-dini Waliofufuka na Kunyakuliwa (Ufunuo 14:1-20)

Hii ni kuhusiana na watakatifu waliozaliwa tena upya, ambao walifufuliwa na kunyakuliwa baada ya kuuawa kama wafia-dini na Mpinga Kristo, wapo wakimsifu Bwana Mbinguni....

Listen

Episode 10

January 14, 2023 00:24:31
Episode Cover

SURA YA 12-2. Pokea Kuuawa kwa Kuifia-Dini Kwa Imani Thabiti

Sura ya 12 inatuonyesha jinsi ambavyo Kanisa la Mungu litakabiliana na dhiki ya nyakati za mwisho. Aya ya 1 inasema, “Na ishara kuu ilionekana...

Listen

Episode 21

January 14, 2023 00:24:45
Episode Cover

SURA YA 18-1. Ulimwengu wa Babeli Umeanguka (Ufunuo 18:1-24)

Watu wanaweza kusikia mahubiri juu ya baraka na laana za Mungu kwa kupitia watumishi ambao Mungu amewatuma hapa duniani ili kuzifanya kazi zake. Hivyo,...

Listen